Sunnah za Eid al-Fitr

 


✔ Kula kabla ya kwenda kuswali (hasa tende kwa idadi ya witri)

✔ Kuoga na kuvaa nguo nzuri

✔ Kupaka manukato (kwa wanaume)

✔ Kwenda kuswali uwanjani

✔ Kuleta Takbira kwa wingi


Imepokewa kutoka kwa Anas ibn Malik:

Mtume ﷺ hakuwa akienda kuswali Eid al-Fitr mpaka ale tende kwa idadi ya witri. (Sahih al-Bukhari)


🌿 Takbira za Eid


Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar,

Laa ilaaha illa Allah, Allahu Akbar, Allahu Akbar,

Wa lillaahil hamd.


Allahu Akbar Kabiiraa,Walhamdulillahi Kathiiraa, Wasubhaanallahi Bukratan wa Asiilaa.


Laa ilaaha illa Allaahu, wa laa na‘budu illa iyyaahu, mukhlisiina lahud-diina walaw karihal-kaafiruun.


Laa ilaaha illa Allaahu wahdahu,sadaqa wa‘dahu,wa nasaha ‘abdahu, wa a‘azza jundahu,wa hazamal ahzaaba wahdah.


Laa ilaaha illa Allaahu,Allaahu Akbar, Allaahu Akbar, wa lillaahil-hamd.


🌿 Yaliyo Sunnah Kufanya Siku ya Eid

 • Kuoga na kuvaa vizuri

 • Kupaka manukato

 • Kuandaa chakula kizuri

 • Kuwatembelea ndugu, marafiki na majirani

 • Kuwasaidia maskini na mayatima

 • Kupeana zawadi

 • Kuonyesha furaha kwa halali


⚠️ Tahadhari Siku ya Eid


Muislamu anatakiwa ajiepushe na:

 • Ulevi

 • Muziki na mambo ya upuuzi

 • Mchanganyiko usiofaa wa wanaume na wanawake

 • Zinaa na maasi


Kwa sababu Eid ni:

👉 Siku ya kumshukuru Allah, si kumuasi.

.

.

.

#Uislamunidiniyahaki

#MwenyeziMungundiyeajuayezaidi

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA