KISA CHA NABII MUSA NA HIDHIRI
KISA CHA NABII MUSA NA HIDHIRI KISA ICHI KIMEKUSANYWA NA KUANDALIWA VEMA NA TAWFIQ MASSINI. KISA CHA NABII MUSA NA HIDHIRI SEHEMU YA KWANZA Ni kisa cha hidhri ameelezewa kama Nabii au Walii au hata Malaika aliye ahi mpaka leo hii ni nabii ambaye bila ya musa uwenda tusinge mfaham ALLAH natusimlia katika qurani sura ya 18 aya 60 mpaka 82 "Nakumbukeni musa alipomwambia kijana wake nitaendelea na safari mpaka nifike katikati ya maungano ya bahari mbili au niendele karne na karne mpaka nikutane na huyo ninayetaka kukutana naye." Kabula ya kisa cha hidhiri tuanze kisa cha musa nacho kwa uchache........ ...Nabii Musa A.S. alipokuwa mkubwa, mkewe Firauni alimwamrisha mama yake amlete ili apate kuishi katika jumba la Firauni. Alipomleta akamchukua mpaka kwenye chumba cha Firauni akamweka hapo ili acheze naye...