Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Rais Yoweri Museveni Aapishwa Rasmi Kuwa Rais wa Uganda

Rais Yoweri Museveni Aapishwa Rasmi Kuwa Rais wa Uganda

Picha
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameapishwa Rasmi kuwa Rais wa nchi hiyo katika viwanja vya Kololo nchini humo na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Afrika akiwamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt.John Pombe Magufuli kutoka Tanzania.