Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Mo Music: Maumivu Ya Mapenzi Yanasababisha Mimi Kufanya Vizuri Kwenye Kazi.

Mo Music: Maumivu Ya Mapenzi Yanasababisha Mimi Kufanya Vizuri Kwenye Kazi.

Picha
Mo Music ni miongoni mwa wasanii wa Bongo Fleva ambao wanaumizwa sana na mapenzi hasa akikumbuka siku ambayo aliyopigwa chini na mpenzi wake. Akiongea kwenye kipindi cha 5 SELEKT, kinachoruka kupitia EATV, Mo Music alisema, “Nishawahi kuumizwa.” “Unajua mimi nilikuwa na mwanamke wangu, nilianza ku-date naye nikiwa form two mpaka mwaka wa kwanza, yeye alikuwa ndiyo anamaliza form six, hizo pain mpaka leo zina-click kwenye kichwa changu, lakini ndiyo zinanifanya niweze kufanya vizuri kwenye muziki, na kwa sasa tumebaki kuwa marafiki tu,” aliongeza.