Magomeni: Basi Lingine la Mwendo Kasi Dar Lagongwa
Basi la mwendo kasi limepata ajali katika junction ya Sheikh Yahya, Magomeni baada ya gari binafsi kupiga "u-turn" sehemu isiyoruhusiwa.
T MEDIA NEWS ni blog ya habari,elimu,afya na teknolojia Tanzania