Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya sponsored post: Fahamu Kuhusu Misukule Wa Maofisini Na Jinsi Ya Kujikinga Usifanywe Msukule Wa Ofisini

sponsored post: Fahamu Kuhusu Misukule Wa Maofisini Na Jinsi Ya Kujikinga Usifanywe Msukule Wa Ofisini

Picha
Na. Dokta  Mungwa  Kabili...0744  000 473 SWALI : Mtaalamu, kwa  heshima  na  taadhima  ninaomba  unisaidie  suala  langu. Mimi ni  mwanamke  mkaazi  wa  manispaa  ya  Nyamagana, jijini  Mwanza,  umri  wangu ni  miaka  37, mume  wangu ana  miaka  45 sasa.  Tangu  tumefunga  ndoa, huu  ni  mwaka  wa  kumi na  tano.  Mimi   nina jishughulisha  na  biashara  ya  ufundi cherehani. Mume  wangu amesoma hadi  Chuo  Kikuu, amesomea  mambo ya  kompyuta.   Tangu mwaka  2000  mume wangu  amekuwa  akifanya  kazi  kwenye  Internet  CafĂ© ya  Muhindi . Hela  anayo  lipwa kidogo sana, na  kutokana  na  uchapaji  kazi  wake, kampuni  nyingi zimekuwa  zikimfuata  zikitaka  ku...