Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MNARA WENYE UREFU ZAIDI YA ULE WA DUBAI KUJENGWA KATIKA MJI MPYA WA JAPAN

MNARA WENYE UREFU ZAIDI YA ULE WA DUBAI KUJENGWA KATIKA MJI MPYA WA JAPAN

Picha
Japan imepanga kujenga mji mwingine mzuri, Katikati ya mji kutakuwa na mnara wenye urefu wa  ft 5,577 Utakuwa una urefu mara mbili zaidi ya ule wa Dubai Unaweza kuhifadhi watu  50,000  na utakuwa na gyms,hotel na huduma za afya Muundo wake utajulikana kama  Sky Mile Mji huu utakuwa na pembe sita wakiamini pembe sita zina uwezo mkubwa wa kuthibiti upepo Lifti zake si kwamba zinakuwa na uwezo wa kukupeleka ghorofa moja hadi nyingine,bali zitakuwa na uwezo wa kukupeleka hadi katika chumba chako Mji huo utakamilika rasmi  mwaka 2045 ,na utakuwa na nyumba  500,000