MAMA DIAMOND AMFYATUKIA ZARI THE BOSS LADY,AFICHUA SABABU ZA KUM DELETE ,MAZITO YAFUMUKA
Muziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady. Kimenuka tena! Hali ndani ya familia ya staa wa Muziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, inadaiwa kuwa si shwari kufuatia mama wa msanii huyo, Sanura Kassim ‘Sandra’ akishirikiana na mwanaye Esma