Shirika la UmemeTanzania linawataarifu wateja wake kuwa kutakuwa kuna maboresho katika mfumo wake wa LUKU
Shirika la UmemeTanzania Taarifa kwa Umma Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kutakuwa kuna maboresho katika mfumo wake wa LUKU utakapopelekea wateja kushindwa kununua Umeme siku ya Alhamisi tarehe 24, March 2016 kuanzia saa 5 usiku hadi tarehe 25 March, 2016 saa 11 Alfajiri. Sababu za kukosekana kwa huduma hiyo ni : Matengenezo ya kuboresha mfumo wa Luku. Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza. Imetolewa na ofisi ya uhusiano TANESCO makao makuu.