Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Lowassa Kuanza Mikutano Ya Kuimarisha Chama Nchi Nzima

Lowassa Kuanza Mikutano Ya Kuimarisha Chama Nchi Nzima

Picha
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeneo (CHADEMA) na aliyekuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu uliopita kwa tiketi ya chama hicho na kuungwa mkono na UKAWA, Edward Lowassa akisalimiana na viongozi wa walemavu wilayani Monduli kwenye Mkutano wa kwanza wa kuimarisha chama nchi nzima.