Picha 9 za Jeshi letu la JWTZ Likiwa Katika Uwanja wa Mapambano Huko Congo DRC
Hapa kuna Picha Kadhaa za Wanajeshi wetu wa JWTZ Wakiwa katika uwanja wa Mapambano katika Misitu ya Ben Congo DRC. Juzi kati, jeshi letu limetunukiwa medani na MONUSCO Kwa umahili wake. ==> Habari hii,picha pamoja na video ni kwa hisani ya mwandishi na correspondent wa ITV anayeripoti tokaCongo ndg. Eshongulu EshonguluEshongulu