Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Tabia 10 zinazoharibu Figo

Tabia 10 zinazoharibu Figo

Picha
Tabia 10 zinazoharibu Figo Kubana mkojo muda mrefu Kutokunywa maji ya kutosha kila siku Kutumia chumvi nyingi kuzidi kiwango Kula nyama mara nyingi Kutokula chakula cha kutosha Kuchelewa kujitibu maambukizi madogo madogo haraka na kwa usahihi Kutumia visivyo dawa za kutuliza maumivu Kutumia dawa kwa ajili ya insulin kwa muda mrefu Kunywa pombe kupita kiasi Kutopata muda wa kutosha kupumzika Kunywa glasi 2 za juisi ya parachichi kila siku kutaziweka figo zako katika hali ya usafi na afya.