Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2018

IJUE HISTORIA YA KABILA LA WAKURYA|T MEDIA NEWS

Picha
Abakuria (au Wakurya) ni kabila la watu wanaoishi katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti kwenye mkoa wa Mara, kaskazini mwa Tanzania, na katika wilaya za magharibi na mashariki mwa Mkoa wa Nyanza katika sehemu ya kusini mashariki ya Kenya. Mnamo mwaka 2005, idadi ya Abakuria ilikadiriwa kuwa 690,000, ikiwa ni 430,000 wanaoishi nchini Tanzania na 260,000 nchini Kenya. Lugha yao ni Kikuria. Abakuria ni wakulima na wafugaji, huku Abakuria wa nchini Kenya wakiegemea sana kwa kilimo nao wa nchini Tanzania wakiegemea sana ufugaji. Kilimo cha asili walikuwa wanalima ulezi mtama na viazi tu kwa ajili ya kutengeneza Togwa (obosara) na Pombe. Mazao mengine yalianza kulimwa miaka ya 1900  baada ya wajerumani kuhimiza kilimo. Wakurya hawapendi kutawaliwa wala kuonewa hivyo walikuwa na saiga lika ya vijana kwa ajili ya ulinzi na usalama hivyo utumwa haukuwaathiri sana. Ila kwa kupenda kwao vita walijiunga sana na jeshi K.A.R (King African Rifle) kupigana vita ya kwanza na ya pili n...

💔 Siri Nzito Ndani ya Hoteli: Kilio, Aibu na Tukio Lisilosahaulika Maishani | T MEDIA NEWS

Picha
Simu yangu ikaanza kuita, nikapiga hatua za haraka kwenda kuipokea huku nikimgonga kidogo muhudumu begani. Kitendo cha kuinama na kuiokota suruali yangu iliyokuwa chini ili kutoa simu mfukoni, ghafla taulo langu likafunguka na kudondoka chini huku muhudumu akibaki ananishangaa. ENDELEA Nilibaki nimeshika butwaa, akili yangu ikiwa imechanganyikiwa kwa sekunde chache. Sikujua nianze wapi—kuokota taulo au kupokea simu. Aibu ilinipanda ghafla, lakini simu iliendelea kuita bila huruma. Muhudumu alikuwa amesimama kama sanamu. Hakusogeza hata jicho, macho yake yakiwa yameganda kunitazama. Nilijaribu kujisitiri haraka kwa kuokota taulo, huku moyo wangu ukidunda kwa kasi isiyo ya kawaida. Hatimaye niliitoa simu mfukoni na kuona ni Rahma anayepiga. Nikapokea kwa sauti ya kawaida kadiri nilivyoweza kujizuia: “Hello baby…” “Baby, umeshaletewa chakula?” Rahma aliuliza kwa sauti ya upole. “Ndio baby,” nikajibu huku bado najisitiri kwa haraka. “Ok, mimi nimeshafika kwa bibi. Nikitaka kuja huko nitaku...