Vanessa Mdee Vs Shilole Hali ni Tete Instagram, Wapigana Vijembe Laivu
Ni juzi tu tuliona video ya msanii wa kimataifa vanessa mdee akimfundisha yai local artist Shishi baby salon cha ajabu ni leo ghafla wamenza kutupiana maneno uko instagram shilole alianza na ujumbe huu Haikuchukua mda nae vanessa mdee v. money amendika maneno haya kupitia instagram account yake "Nikupe KICKIII ujulikane au sio? Kila siku twanyamaza ndiyo mtugaragaze. Sit the f**k down. Mimi sio wale uliowazoea. P.s: You ain't worth this post inashushwa sasa hivi" #MessageSent