Waziri Nape Alivyofafanua Suala La Kurusha Live Bunge Mjini Dodoma
Sehemu ya Majumuisho ya Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akitolea ufafanuzi suala la Bunge kurushwa Live na studio za Bunge.
T MEDIA NEWS ni blog ya habari,elimu,afya na teknolojia Tanzania