Hii dunia Kila mnachokiona mjue kimeshapangwa na wahuni

 


Hii dunia Kila mnachokiona mjue kimeshapangwa na wahuni ambao Kwa sasa wameanzisha Rasmi kitu kinaitwa the new world order ambapo anayeamua nini kifanyike hapa Duniani ni baali 


( Kaka/Dada naomba utumie muda mfupi usome Kwa makini Nina Imani Leo utapata ufunguo wa akili ) 


Kwanza baali ni nani?


Katika historia ya kale:

Baal alikuwa mungu wa watu wa Wakanaani na Foinike maelfu ya miaka iliyopita. Mungu huyo aliabudiwa kabla ya Wanaisraeli kuanza kufundisha Mungu wa mbinguni , mungu baali

Alihusishwa na ngurumo, mvua na nguvu za asili na umiliki wa Kila kitu.


Baali Kwa sasa anahusishwa na Lucifer wengine humhusisha na shetani mwenyewe.


Lakini katika maandiko ya dini ya Kiislamu na ya Kiyahudi, Baal alitajwa kama sanamu la ibada ya shirki ambalo agano la kale na Qurani vimekataza wanadamu kujihusisha na ibaada ya Baali 


Ndani ya Qur’ani kuna simulizi la Nabii Ilyas aliposema kwa watu wake:

“Je, mnamuomba Baal na kumuacha Muumba bora kuliko wote?”

(Qur’an 37:125)


Kwa hiyo katika fikra za kidini, Baal anawakilisha ibada ya sanamu na nguvu za giza.


Turudi kwenye picha , Baali amewekwa juu kama kiumbe kinachodhibiti wengine kwa minyororo, ishara ya kwamba nguvu ya juu ya kishetani inaongoza mfumo mzima

( Matajiri, familia zenye hadhi za kifalme,watawala , wasanii, Hadi raia wa kawaida )

👉 Ila mfumo anaotumia kukontro wanadamu ni mfumo wenye daraja , anaanza na ngazi za juu mwisho ndio anawakontro watu wa kawaida ( na hii ndio inaitwa the new world order)


Baada ya Baali mtoa order mwenyewe basi 1️⃣daraja la kwanza ni Familia zenye nguvu pamoja na matajiri wakubwa  hapa Duniani :


Rothschilds

Rockefellers

Royal Family

( Na matajiri wengine wakubwa wanaofahamika wote wapo kwenye ngazi ya juu) 


👉 Hawa jamaa hakuna mtu Duniani anayewapa amri Wala kuwaingilia katika mambo yao , Kwa kifupi wapo juu ya Sheria na wanasapotiwa na Baali mwenyewe.

kana kwamba wao ndio wanaosimamia mali na nguvu duniani kwa niaba ya nguvu ya juu zaidi.


2️⃣Baada ya hao wanakuja wengine ambao uwezo wao na nguvu zao hazilingani na hao wa juu nao ni: 


Zionists

Vatican

Freemasons


Hawa nao Wana nguvu na wanaendesha dunia wanavyo taka , wanafanya wanavyotaka na hakuna anayewanyoshea kidole Kwa sababu wapo katika mfumo wa Baali 


😓 Na Cha ajabu zaidi wale matajiri wakubwa na familia kubwa wa daraja la kwanza wote wanasapoti freemason, wote wanasapoti Vatican, wote wanasapoti Zionists 


( Mwenye akili tu ndie atanielewa )


Ndio maana Zionists hufanya Kila machafu ila hawalaumiwi

Vatican pia ina mengi ya Siri na hawataki yajulikane 

Freemason ndio usiseme 


Wote hao wamelindwa na mfumo wa utawala wa new world order ndio maana Wana nguvu na hakuna anayethubutu kuwagusa akatoboa hata siku Moja.


Siri : Freemason, Vatican, Zionists Hawa ndio wanakontro maraisi ambao ndio daraja la 3👇


3️⃣ Baada ya hao Kuna wengine wenye nguvu nao vilevile hawaguswi Kwa sababu wanalindwa na mfumo 👉 Nao ni  Viongozi wa Dunia


Marais/wafalme

Mawaziri

viongozi wa nchi wenye hadhi kubwa 

wanaonekana kama wanafuata nguvu zilizoko juu yao, badala ya kuwa huru kabisa.

( Na hili si uongo ni ukweli 100%)


Hakuna Raisi anaweza kugusa Roman Catholic: hayupo kama yupo mtaje

Hakuna Raisi mwenye uwezo wa kugusa freemason 

Hakuna Raisi mwenye kukemea Zionists


Maana maraisi wengi hupewa amri na viongozi waliojuu yao


Kiongozi yeyote Duniani akithubutu kwenda kinyume na mfumo wao basi watamuondoa iwe kumuua au kumteka au kusababisha fujo nchini mwake.


Ndio maana Marekani anapo shambulia Iran , dunia ipo kimya hakuna anayekosoa Kila mtu anasifia na Iran ikijibu mashambulizi basi dunia inakosoa vibaya na kusema ni magaidi


Waisraeli walipowanyima chakula na maji wakawaacha wafe na njaa dunia iliangalia hakuna aliethubutu kusema fyoo hayo yote ni Kwa sababu wanaofanya Ivo Wana mfumo mkubwa unaowalinda.


4️⃣Daraja la mwisho hili ndio linatumika kuhadaa watu wa kuwaingiza kwenye mfumo 

( Yaani wale maboss wa juu wao hawahangaiki wanao hangaika na kupoteza umma na kuwapumbaza ni Hawa daraja la mwisho katka nguvu za mfumo:  


Media & Athletes

Actors & Musicians

( Media nyingi zipo chini ya mfumo : BBC, REUTERS, Al Jazeera,... wanapangiwa nini waposti) 


Hii inaashiria wazo kwamba:

vyombo vya habari mbalimbali 

sinema(waigizaji)

muziki(wasanii)

michezo(wacheza mipira na michezo mingine )


vinatumika kuathiri fikra za watu na kuwahadaa na kuwapumbaza 

Ni kama jamii inawekwa kwenye usingizi wa akili ili ikontroliwe kiulaini.


Wasanii kuvaa uchi

Wacheza mipira kupewa pesa kubwa

Waigizaji kuigiza movie mpya Kila siku 


Haya yote yanafanyika ili kizazi kiwaze mziki tu kiwaze mpira,kiwaze uigizaji basi

Hawa jamaa hawataki kizazi kiwaze mambo ya msingi ya kujitambua hata siku Moja maana itakua ngumu kuwatawala.

 Angalia jinsi pesa zinavyo mwagwa Kwa wacheza mpira mpaka unabaki unajiuliza yaani mpira ndio unamfanya mtu atajirike kuliko raisi wa nchi?

Pesa zinamwagwa Kwa wasanii

Pesa zinamwagwa Kwa actors (waigizaji)


Hii haifanyiki Kwa bahati mbaya hapana lengo unapotezwa wewe kasongo


Ndio maana zuchu anaweza kuimba ujinga huku amevaa chupi na mziki ukawekwa viral na mapato makubwa kuliko Roma makatili akiimba wimbo wa kizalendo : wimbo huu kwanza Basata wataufungia na kuupiga marufuku kwamba unapoteza jamii

Hii dunia ina mengi 


Daraja la mwisho kabisa ambalo halina nguvu ni Wananchi wa Kawaida

Wananchi wako chini kabisa kwenye mfumo.

Wanatazama tu, bila kujua nini kinaendelea juu yao.


Yaani maskini ya Mungu raia wao ni Bendera fata upepo ispokua wale raia wenye akili ya kujitambua hao wamejitoa ktk utawala wa Baali 


Ndugu yangu  dunia inaendeshwa na mtandao wa siri unaodhibiti kila kitu.

( Hili amini usiamini ila huu ndio ukweli kabisa)


Yeyote anayeenda kinyuma na mfumo basi kifo au jela vinamhusu 


Msani akijitoa kwenye mfumo tayari kifo kinamhusu 

Muigizaji wa movie akijitoa kifo kinamhusu

Raisi akipinga amri za wakubwa wake tayari ananyofolewa chapu


Hii dunia sijui lini itakuwa na haki.


Anyway kama umeelewa share Kwa wenzako wapate chakula Cha akili.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA