Mataifa ya magharibi yametufundisha kwamba haki za binadamu huanza na kuishia pale ambapo, mipaka ya maslahi ya Israel inapofika kikomo”


“Mataifa ya magharibi yametufundisha kwamba haki za binadamu huanza na kuishia pale ambapo, mipaka ya maslahi ya Israel inapofika kikomo” 


 Vladimir Putin, Rais wa Urusi🇷🇺


 Ndio maana hata kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) limeikemea Iran kwa kuzishambulia kambi za Marekani na Israel badala ya wao ambao walianzisha vita hivyo.