Picha 3: Uwanja wa Tevez ulivyoteketea kwa Moto leo
Uwanja wa Hongkou wa klabu ya Ligi Kuu China, Shanghai Shenhua iliyomsajili Carlos Tevez kwa mshahara wa Pauni 615,000 kwa wiki Desemba mwaka jana ukiteketea kwa moto baada ya kuungua kuanzia Saa 2:30 asubuhi ya leo.



Maoni
Chapisha Maoni