Kimenukaa..Hivi Ndivyo Gazeti la Kenya Lilivyomdhalilisha Rais Magufuli...!!!
Gazeti moja la nchini Kenya linalojulikana kama The Star Kenya limemchora Rais Magufuli katuni na kumuita dikteta kupitia ukurasa wake wa facebook
T MEDIA NEWS Blog Tunalaani kwa Kitendo hiki Ambacho Hakimtendei Haki Mhe Rais Magufuli


Maoni
Chapisha Maoni