BREAKING: Maalim avuliwa ukatibu Mkuu CUF

Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi(CUF) leo limemvua Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu na kumpa Magdalena Sakaya.

Taarifa ya hatua hiyo imetangazwa Mapema leo na Prof Ibrahim Lipumba


Habari zaidi itakujia hivi punde...

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA