Ujumbe unaohisiwa kuwa wa Belle 9 unaomdis Diamond Platnumz
Usiku wa March 2 kuamkia March 3 jina la mkali kutoka Bongoflevani Belle 9 lilirudi kwenye headlines baada ya kuonekana kwa post katika mtandao wa Instagram inamdis Diamond Platnumz lakini baadae inadaiwa kufutwa na account ya msaani huyo kufanyiwa mabadiliko ya jina. Baada ya muda stori zilianza kuzagaa mitandaoni kuwa post hiyo sio ya kweli huku […]
The post Ujumbe unaohisiwa kuwa wa Belle 9 unaomdis Diamond Platnumz