SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumamosi, 5 Machi 2016

T media news

RAIS MAGUFULI ASEMA AKISHINDWA KUPAMBANA NA MAFISADI ASIITWE RAIS


Rais Magufuli, amesema kama atashindwa kutumbua majipu dhidi ya wazembe na wabadhirifu serikalini, hakuna sababu ya yeye kuitwa Rais.