Ombeni Sefue ang’olewa Ikulu

Habari zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa Rais John Pombe Magufuli, amemteua Mhandisi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, kuchukua nafasi ya Ombeni Sefue ambaye atapangiwa kazi nyingine. Kabla ya uteuzi huo, Mhandisi Kijazi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini India.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA