MSANII HARMONIZE ASEMA HAYA KUHUSIANA NA 'BEEF' LA DIAMOND NA ALI KIBA



Msanii wa bongo fleva,Harmonize ambaye yuko chini ya lebel ya wasafi inayomilikiwa na Diamond amefunguka na kusema yeye hajui kama kuna ugomvi wowote kati ya bosi wake na Ali Kiba kwani hajawai kusikia akimzungumzia vibaya msanii huyo.

Harmonize pia ameenda mbali na kusema kuwa yuko tayari kufanya kazi na Ali Kiba kama itatokea kwani ni moja kati ya msanii mkali.
“Mimi sijui kama kuna beef,sijawahi kumsikia Diamond akimwongelea msanii yeyote tofauti..Diamond ni kati ya watu wanao support muziki wa Tanzania,ukiona kolabo nyingi za wasanii wa Tanzania na nje Diamond ana Mchango wake” na kuendele kusema kuwa yuko tayari kufanya kazi na Kiba “Ali Kiba ni msanii mzuri,kwa hiyo kolabo ikiwa na tija nitafanya naye“.
Source: CloudsTv

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA