Korea Kaskazini yaamrisha majaribio zaidi ya mabomu


 rais Kim Jong Un

Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un ameamrisha majaribio zaidi ya kinyukilia yakitumia mabomu yasiyokuwa na nguvu, ambayo anasema wanasayansi wa nchi yake wametengeneza.

Shirika la utangazaji nchini limetangaza kwamba Kim alitoa amri hiyo baada ya kushuhudia uzinduzi wa makombora mengine hapo Alhamisi.

Awali kiongozi huyo alisema wanasayansi wa nchi yake wamefanikiwa kupunguza ukubwa na mabomu ili yaweze kuwekwa kwenye makombora.

Korea Kaskazini
Waandishi wa habari wamesema ikiwa hili litathibitishwa, hii itakua tishio kubwa kwa Korea Kusini na nchi nyingine zilizoko kwenye kanda hiyo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA