SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 6 Machi 2016

T media news

Hii ndio historia mpya iliyowekwa na Simba dhidi ya Mbeya City leo



Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo kwa klabu ya Simba kushuka uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kuikabili Mbeya City katika mchezo wao wa mzunguuko wa pili wa Ligi Kuu soka TanzaniaBara msimu wa 2015/2016. Simba ilishuka uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ikiwa haina kumbukumbu ya kuwahi kuifunga Mbeya City katika uwanja huu […]

The post Hii ndio historia mpya iliyowekwa na Simba dhidi ya Mbeya City leo appeared first on TZA_MillardAyo.