SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumanne, 1 Machi 2016

T media news

Ewura watangaza bei mpya za Mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya Taa




Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza  bei kikomo za bidhaa za  mafuta ya Petrol, Dizel na ya Mafuta ya taa katika masoko yote ya jumla na rejareja. Bei hizo zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 2 Machi. Mkurugenzi wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi alipata nafasi ya kutoa […]

The post Ewura watangaza bei mpya za Mafuta ya Petroli, Dizeli na mafuta ya Taa appeared first on TZA_MillardAyo.

Visit website