BASATA, Wazifungulia Nyimbo za Diamond Walizokuwa Wamezifungia


Baada ya Diamond na Uongozi wake Kukaa na BASATA pamoja na Waziri wa Sanaa, Hatimaye nyimbo Nyimbo zake Zimefunguliwa Kuchezwa kwenye TV na Radio Nchini Tanzania, Nyimbo hizo ni

1. Hallelujah (uliomshirikisha Morgan Heritage )
2. Waka Waka (uliomshirikisha Rick Ross).

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA