BASATA, Wazifungulia Nyimbo za Diamond Walizokuwa Wamezifungia
Baada ya Diamond na Uongozi wake Kukaa na BASATA pamoja na Waziri wa Sanaa, Hatimaye nyimbo Nyimbo zake Zimefunguliwa Kuchezwa kwenye TV na Radio Nchini Tanzania, Nyimbo hizo ni
1. Hallelujah (uliomshirikisha Morgan Heritage )
2. Waka Waka (uliomshirikisha Rick Ross).

Maoni
Chapisha Maoni