GSM FOUNDATION WAFANIKISHA UPASUAJI WA WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA MKOA WA MARA

Dkt. Othman Kiloloma akizungumza na waandishi wa habari katika Hospitali ya Rufaa Musoma wakati wa kufunga awamu ya tatu ya kambi tiba ya @GSMFoundationTz