Jinsi Granit na Taulant Xhaka walivyo-show love jana


Arsenal wameshinda mchezo wao Kundi A wa Champions League katika Uwanja wa Emirates usiku wa kuamkia leo.

Theo Walcott ndiyo alikuwa shujaa wa mchezo, akifunga mabao mawili kwenye kipindi cha kwanza yalidumu muda wote wa mchezo. Mpaka sasa Walcott amefunga mabao 4 katika michezo 3 iliyopita.

Ndugu wawili Granit na Taulant wadhihirisha mapenzi ya dhati kati yao kwa kubadilishana jezi

Ikumbukwe wawili hawa walishawahi pia kukutana kwenye Michuano ya Euro mwaka 2016  akati Granit akiichezea Switzerland huku Taulant akichezea Albania.

Jana walikutana tena Granit akiwa upande wa Arsenal na Taulant akiwa upande wa Basel na baada ya mchezo walikutana na kubadilishana jezi ikiwa ni ishara ya upendo mkubwa uliopo kati yao.

Video

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA