Watanzania Kwa Uchafu Tumeshindikana..Embu Ona Huyu Katupa Takataka Daraja Jipya


Pamoja na Jitihada za Paul Makonda Kuanzisha kampeni ya Usafi Jijini Dar es Salaam lakini kuna baadhi ya watu wanazikwamisha juhudi hizo kwa makusudi..hizi takataka zimetupwa daraja jipya la kigamboni ambalo limefunguliwa week iliyopita tu... 

Una maoni gani kuhusu hili?

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA