Faiza Ally amesema sasa ni muda saihi wawatu kutambua uwezo wake wa kuimba amesema sasa wataingia studio na mr blue kuludia nyimbo ya freedom ambayo mweshimiwa sugu ali mzunguka mr blue na kuifanya nyimbo yake sasa awataka mashabiki wa muziki wajiandae kusikia mziki mzuri