Wastara Juma Azungumzia Maisha yake ya Mapenzi, Biashara, Pamoja na Filamu

Msanii wa filamu na mfanyabiashara, Wastara Juma amefunguka na kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu maisha yake. 

Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Wastara amesema licha ya kufanya filamu na kumuingizia pesa, lakini maisha yake kwa sehemu kubwa wanategemea biashara. 

“Mimi ni mfanyabiashara kitambo sana, nina miaka karibu 19 nafanya biashara na na bado zinaendelea vizuri,” alisema Wastara.

Pia Wastara amezungumzia maisha yake ya ndoa, kuhusu aliyekuwa mume wa Sadifa, baada ya kuachana watu wanamchuliaje iliwa ndoa hiyo idumu kwa miezi 3. 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA