HIVI Ndivyo Ugomvi wa P-Square Unamvyomnufaisha Diamond Platnumz

Tangu utokee ugomvi wa kundi maarufu africa psquare kumesababisha huzuni miongoni wa mshabiki wao. Kila mmoja peter na paul wamekuwa wakifanya project binafsi. Hata baada ya kupatana hakuna project ya pamoja waliofanya. 

Diamond amewakutanisha kwa mara ya kwanza kwenye project yake, tangu jana wote peter na paul wapo south africa wakishoot video na diamond. 
Jana wote wameshare picha wakiwa pamoja wakishoot video hiyo na kuamsha furaha ya mashabiki wao barani africa , na kusubiri kwa hamu kazi hiyo. 

Nyimbo hiyo ya diamond inatarajiwa kupata attention kubwa miongoni mwa mashabiki na hii kuendelea kumtangaza zaidi diamond.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA