Rais Magufuli Amsifia Paul Makonda...Atinga Meli ya Wachina

DAR: Rais John Pombe Magufuli afika bandarini kuagana na Madakari wa Meli ya Jeshi kutoka China.
-
Asema wagonjwa takribani 10,000 walifika kupata matibabu katika meli hiyo 
-
Aidha, Rais Magufuli amemsifia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa uchapakazi na kuwataka Viongozi wengine wajifunze kwake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA