Mrisho Gambo Afunguka Lowassa Kutaka Kurudi CCM....Adai Amemtuma Amuombee Kwa Magufuli

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alisimama kwenye jukwaa la kumpigia kampeni Mgombea Udiwani kwenye siku ya mwisho ya kampeni November 25.

Akiwa kwenye Jukwaa hilo Gambo alisema ametumwa na Lowassa kwa Rais Magufuli akitaka kurudi CCM hivyo afikishe ujumbe kwani yeye Lowassa kwa muda mrefu ametamani kuongea na Rais Magufuli lakini hajakubaliwa

 VIDEO:

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA