Jux na Vanessa Warudiana, Wala Denda Live Jukwaani Fiesta

Wasanii wa muziki Jux pamoja na Vanessa Mdee kupitia jukwaa la Fiesta 2017 lililofanyika Leaders Club Jumamosi hii wamefanya tukio ambalo linaonyesha wawili hao kwa sasa wapo pamoja katika mahusiano ya mapenzi. Wawili wao walitengana miezi michache iliyopita lakini kwa kupitia tukio la show hiyo limeonyesha wamerudiana. VIDEO: 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA