Diamond kwa Nyimbo Hizi Mbili Mpya: Hata Ukistaafu Mziki Leo Sina Cha Kukudai Kamanda, Hebu Sikiliza na Wewe.

Asiwapigie rafiki zangu..niacheee....nasema niacheeeee....Ntakudanganya kwa tabasamu..ntakudanganya kwa kulikie picha..

wanasema kitanda ukitandika lazima ukilalie..

Kijana unajua sana. hata ukistaafu..umeufanyia makubwa mziki wa wetu. sidai sana.

leo kinyumbani nyumbani... Nauliza hivi bado wale wengine wanashindana tu..nasikia wanajua kupiga danadana..si wakacheze mpira tu hata Ruvu jkt..au Polisi Moro.

Hebu sikiliza mabalaa hayo...mtaani wa pili mpo


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA