![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjO1fm1KROtlFAhoGQgt56dGjbEerm82rAf1yiq0JY8iEgeltpj8_0Tl2gt0oTkIGLahB_Sd9v7pvWxV6DBL5iyJhKvPka74GSVLGarlYeDZAVTIW3SRvsOgAviX6ZiHJo0-WzHQma9cU9V/s320/africamap_1.gif)
Kwa mujibu wa UNDP na msaada wa mtandao wa answers.com umetabainisha kuhusu nchi kumi ambazo zinaongoza kwa wasomi . na wasomi hao ni wale ambao wamepata kuanzia degree moja.
Na nchi hizo ni;
Zimbabwe.
Tunisia.
Nigeria.
Misri.
Afrika kusini.
Ghana
Kenye
Uganda
Zambia.
M oroco.