SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 25 Juni 2017

T media news

EAST AFRICA TV & RADIO Walivyotilia Shaka Uwepo wa Rayvanny Tuzo za BET....Aibu Kwao

Hatimaye......Rayvanny Winning BET AWARDS 2017
.
.

Ila tujikumbushe kidogo....mnamo tarehe 9 June👇 .
EAST AFRICA TV & RADIO watilia shaka uwepo wa @Rayvanny kwenye Tuzo za BET .
.

SHAKA LA KWANZA....ni msanii huyo kutowekwa katika website yao ambapo wasanii wote ambao wapo nominated wamewekwa katika website hiyo
.
.

SHAKA LA PILI....ni page ya BET iliyompost Rayvanny kumuombea kura kwamba ina followers wachache na haipo verified.
.
Je kwa hili la Rayvan Je Aibu yao au Aibu ya nani??? .