William Lukuvi Amekabidhi Ramani za Maeneo Yote ya Mitaa ya Jiji la Dar kwa Wenyeviti wa Mitaa. Asema Bomoabomoa Inakuja.

Amesema ametoa ramani hizo ili kila mwananchi atambue eneo alilojenga kama hakustahili kuwepo aanze kujipanga.

Baadhi ya mameya waliohudhuria makabidhiano hayo mbali na kuelezea mipango ya manispaa zao juu ya suala la mipango miji wamesema baada ya wizara kutoa ramani hizo tatizo sugu la migogoro ya ardhi litapungua kwani kila mmoja atafuata taratibu na sheria zilizopo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA