Jeshi la Polisi linamshikilia Mfanyakazi wa PPF Baada ya Kukutwa Akisafirisha Dawa za Kulevya
KILIMANJARO: Jeshi la Polisi linamshikilia Mfanyakazi wa PPF, Anitha Oswald(32) kwa kukamatwa akisafirisha Dawa za Kulevya(Mirungi).
Mwanamke huyo alikuwa akisafirisha bidhaa hiyo haramu kwa kutumia gari lake dogo.
Maoni
Chapisha Maoni