Jeshi la Polisi linamshikilia Mfanyakazi wa PPF Baada ya Kukutwa Akisafirisha Dawa za Kulevya

KILIMANJARO: Jeshi la Polisi linamshikilia Mfanyakazi wa PPF, Anitha Oswald(32) kwa kukamatwa akisafirisha Dawa za Kulevya(Mirungi). 

Mwanamke huyo alikuwa akisafirisha bidhaa hiyo haramu kwa kutumia gari lake dogo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA