BASATA yaikana kamati ya Miss Tanzania

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limekanusha taarifa iliyotolewa na waandaaji wa shindano la Miss Tanzania ya LINO Agency, kwamba Baraza hilo ni moja ya chanzo cha kukwamisha shindano hilo kufanyika.

Kweye taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, BASATA imesema ilitoa kibali cha muda kwa kampuni hiyo kuweza kushughulikia matatizo yake, pamoja na kuratibu safari ya Miss Tanzania 2017 aliyeshiriki mashindano ya Miss World mwaka huu.

Taarifa hiyo imeendelea kwa kutoa wito kwa makampuni yanayoandaa mashindano ya sanaa kuongeza weledi, na kuzingatia sheria, ili kuepuka matatizo kama hayo.

Isome hapo chini

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA