Mbunge Godbless Lema Afikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo..Asomewa Mashtaka


Wakili wa Godbless Lema Akiwasili MahakaniMh.Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema Tayari Amesomewa mashtaka mawili mfululizo na yote dhamana zipo wazi Wakili msomi John Mallya pamoja na jopo la mawakili wenzake Ameshatimiza wajibu wake, na Mashtaka yote hayo dhamana iko wazi, sasa ni taratibu zadhamana zinakamilishwa.

 Godbless J Lema, anakabiliwa na makosa ya kutuma ujumbe wa kuudhi kwa mkuu wa Mkoa pamoja na kutoa maneno ya Uchochezi kupitia audio..

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA