BREAKING NEWZZZ : Prof. Lipumba, Sakaya, Mbunge wa Mtwara mjini na wengine kadhaa watemwa

Profesa Ibrahim Haruna Lipumba na wafuasi wake 10 WATIMULIWA RASMI UANACHAMA WA CHAMA CHA WANANCHI (CUF). Wengine wapewa onyo kali.
HAYO NI MAAMUZ YA BARAZA KUU LILILOKETI LEO HUKO ZANZBAR.
KWA TAARIFA ZAIDI FUATILIA PRESS CONFERENCE YA CHAMA KESHO SAA 5 ASUBUH ITAKAYOSOMWA NA MHE. MAZRUI
Wabunge Magreth Sakaya na Mbunge wa Mtwara mjini nao wanadaiwa kuvuliwa uanachama

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA