FAHAMU Mambo 6 Yamsingi Yatakayokufanya Uwe na Afya Njema..!!!


Wengi wamekuwa wakituuliza mtindo bora wa maisha ni upi? Jibu ni kwamba mtindo bora wa maisha ni kuishi kwa kuzingatia kanuni za afya. 

Kimsingi mtindo bora wa maisha unahusisha haya yafuatayo:-

1. Kuzingatia ulaji bora 

2. Kufanya mazoezi ya mwili 

3. Kuepuka matumizi ya pombe 

4. Kuepuka matumizi ya sigara au bidhaa zitokanazo na tumbaku na madawa ya kulevya 

5. Kuepuka msongo wa mawazo

6. Kuzingatia kunywa maji yakutosha

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA