RAIS MAGUFULI APATA UGENI MZITO WA MARAIS WAWILI NCHINI


Rais Magufuli leo amepokea Marais wa Mataifa mawili ya Tchad na Zambia kwa mialiko ya ziara za kikazi.Rais wa Chad Idriss Deby atakuwepo nchini kwa siku mbili katika ziara ya Kikazi.

Tanzania na Zambia zinatarajia kusaini mikataba ya ushirikiano Kibiashara,kiuchumi na kidiplomasia


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA