SASA UNAWEZA DOWNLOAD T MEDIA NEWS APPS.

Jumapili, 22 Aprili 2018

T media news

Picha: Mwili wa Agness Masogange ulivyoagwa Leaders Club

Wasanii mbalimbali leo wameungana na watu wengine katika kuuaga mwili wa marehemu Agnes Gerald ‘Masogange’ kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam, ambapo baadaye leo atasafirishwa kupelekwa Mbeya nyumbani kwao kwa ajili ya mazishi.