Tundu Lissu : Tusishabikie Maamuzi ya Kijinga Kwasababu tu Yamefanywa na Raisi
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki kupitia Chadema ambaye pia Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu amesema wabunge wanatakiwa kutoshabikia maamuzi ya kijinga hata kama yamefanya na raisi.
"Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na raisi"- Mchanga wa Makanikia


Maoni
Chapisha Maoni