Sauti ya Mke wa Waziri Mahiga na Traffic Police Aliyetakiwa Kupandishwa Cheo

Mke wa waziri anayesemwa kuzozana na Askari wa Usalama Barabarani ni mke wa Balozi Augustine Mahiga,Waziri wa Mashauliano ya Kigeni wa Tz. 

Ukisikiliza hii audio,ni mazungumzo kati ya Mke wa Waziri Mahiga,Askari wa usalama barabarani na boss wa Askari huyo!Unaweza kusikiliza na kupata picha ya mazungumzo kati ya huyo Mama na Traffic.. 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHOMBEZO: UTAMU WA MADAM JESCA

Simulizi; MTOTO WA BOSS WANGU

SIMULIZI FUPI: UCHI WANGU UMENIPONZA